SUDAN KUSINI KUTUMIA SARAFU YAKE RASMI
Siku tatu baada ya kujipatia uhuru wake, serikali ya Sudan Kusini imesema itaanza kutumia sarafu yake mpya kuanzia wiki ijayo.
Sarafu mpya zinatarajiwa kufikishwa nchi humo katika siku chache zijazo.
Sarafu hiyo itakuwa na thamani sawa na sarafu ya Sudan.
Licha ya kuwa na mafuta mengi, Sudn kusini ni mojawapo ya nchi maskini zaidi duniani hususan baada ya vita vya muda mrefu vya wenyewe kwa wenyewe.
No comments: