Header Ads

Breaking News
recent

MCHEZAJI EMMANUEL MAYUKA WA ZAMBIA CHIPOLOPOLO ALIYEIUA GHANA NUSU FAINALI AFCON 2012-GABON


JINA LA KWANZA
Emmanuel
JINA LAMWISHO
Mayuka
UTAIFA
Zambia
TAREHE YAKUZALIWA
21 November 1990
UMRI
21
ALIKOZALIWA
Zambia
ENEO ALIKOZALIWA
Kabwe
ANACHEZA KATIKA NAFASI YA:
Ushambuliaji
KIMO
178 cm
UZITO
75 kg
ANATUMIA MIGUU:
Yote
Emmanuel  Mayuka

 Emmanuel Mayuka mshambuliaji wa klabu ya Young  Boys ya nchini USWISI  akiwa amepachika magoli 7 katika ligi kuu ya uswisi msimu wa 2011/2012.
Mchezaji huyu alianzia kucheza soka la kulipwa katika klabu ya Maccabi Tel Aviv ya nchini ISRAEL Msimu wa mwaka  2009/2010 na baada ya hapo akapata uhamisho kwenda  YOUNG BOYS Mwaka 2011.


No comments:

Powered by Blogger.